Ta Ha 20:55 ۞ منها خلقناكم وفيها نعيدكم ومنها نخرجكم تارة اخرى ٥٥
۞ مِنۡهَا
خَلَقۡنَٰكُمۡ
وَفِيهَا
نُعِيدُكُمۡ
وَمِنۡهَا
نُخۡرِجُكُمۡ
تَارَةً
أُخۡرَىٰ
٥٥
Kutokana nayo, tumekuumbeni, na humo tunakurudisheni, na kutoka humo tutakutoweni mara nyingine.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Kutoka kwenye ardhi tumewaumba nyinyi, enyi watu, na humo tutawarudisha baada ya kufa, na kutoka humo tutawatoa mkiwa hai ili muhisabiwe na mulipwe.